FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

Liarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.
Ile rafu ni straight red kadi huyu refa ya mama yake 😠
 
Hivi Gamondi alivyokuwa anajidai kwamba kwa yanga hii kila mchezaji atafunga, alikuwa na maana kufunga Ramadhani au kufunga nini?
Maana kama ni kufunga magoli kwa huku cafcl hatujaona kitu.
Huwezi kuongea bila kuwachokoza kobazi?
 
Nawakumbusha tuu CR alipigwa 2-1 ,mpira haujaisha Sasa nyie Yanga rizikeni mjione wakubwa mtatobolewa kote kote.
Kwani yanga hawezi kushinda 2-1 kisa CR ALIPIGWA?? usikalili kishabiki brother yanga wapo vzr possession wapomewazidi hao medeama halafu unakalili yanga wapigwe
 
Baca,Job na Mwamnyeto ni ukuta wa Berlin.
 
Kupindi cha pili kimeanza
Medeama 1:1 Young Africans
 
IMG_20231208_200353_222.jpg

Mashabiki wa Topolo kabla mechi haijaanza, na wakati mechi ikiendelea
 
Back
Top Bottom