Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
Sijajua kule waarabu wenzake wa Algeria na Al Ahly ngapi ngapi ila refa kaja na matokeo kwenye mfuko.Kocha anaastahili kufungiwa kabisa maana hata Diara kachezewa rafu alipokuwa nnje ya uwanja lakini hata hakuwapatia Mediama faulo
Hapa nakutoboa wewe 🖕Chawa unafanya nini hapa?
Ukamsifie mama huko
Ile rafu ni straight red kadi huyu refa ya mama yake 😠Liarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.
Jinsi ya kufungwa [emoji2772]Kesho asafiri aende Morocco afundishwe na Kibu denis jinsi ya Kufunga sawa ?
🖕Niko hapa kuhakikisha unatobolewa kote kote MkuuKampigie makofi Sa100, hapa tunaangalia boli mkuu.
moloko achukue nafasi ya mzize ,Mzize mjinga sana
Huwezi kuongea bila kuwachokoza kobazi?Hivi Gamondi alivyokuwa anajidai kwamba kwa yanga hii kila mchezaji atafunga, alikuwa na maana kufunga Ramadhani au kufunga nini?
Maana kama ni kufunga magoli kwa huku cafcl hatujaona kitu.
Hizo 5 wapigeni wajukuu wa Kwame mtoke mkiani Uto wahed 😁5 zimewachanganya?
Kwani yanga hawezi kushinda 2-1 kisa CR ALIPIGWA?? usikalili kishabiki brother yanga wapo vzr possession wapomewazidi hao medeama halafu unakalili yanga wapigweNawakumbusha tuu CR alipigwa 2-1 ,mpira haujaisha Sasa nyie Yanga rizikeni mjione wakubwa mtatobolewa kote kote.
Foul na Kadi ya Pacome kabla hajaenda kufanga hiyo hujaiona. Acha kushabikia mpira kwa mihemko.Refa anaastahili kufungiwa kabisa maana hata Diara kachezewa rafu alipokuwa nnje ya uwanja lakini hata hakuwapatia Mediama faulo
Na namba kumi aliesababisha penati ni hatariWanasimba uyu sanawah ndo type ya mchezaji wa kusajili.
Huna akili, Mtu kanyanyua mguu kabisa kadhamiria kumvunja Mtu mguu afu unakataa nini?Foul na Kadi ya Pacome kabla hajaenda kufanga hiyo hujaiona. Acha kushabikia mpira kwa mihemko.
Hebu kalia wewe kwanza na unuse.Hapa nakutoboa wewe 🖕