Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu Muha-sibu [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12]
Why kiote nyasiGamondi na ule upara naona kama kibarua kitaota nyasi leo.
Hata mm imani yangu ipo hivi
Muite Mutu ya CPANdugu Muha-sibu [emoji28]
Kwa ihefu, yanga mmekaa mara mbili, siyo kwa bahati mbaya bali ni: yanga hamna kitu.Hata mm imani yangu ipo hivi
Kila nikiangalia zile mechi mbili ,naona kabisa kwenye hili kundi Ni Ahly na Yanga ndio wanachomoza
Wale CRB walitufunga Kwa ufala WA kocha na kipa lkn sio kua Wana mpira mkubwa
Ni kama tulivyofungwa na ihefu
Kunywa maji mbona kawaida sana, bora kunya kabisaYanga isiposhinda Leo mm naenda kunywa maji ya jangwani
Laivu
Umekuwa muoga sana wa kuongea kitu cha kuihusu Yanga🤣🤣😜😜
Kigezo kipi umetumia?Medeama ni vibonde ktk hilo group, nitawashangaa wananchi wakitoka uwanjani bila point
Hakumaanisha kuwa kila mechi lazima wachezaji 11 wafunge, bali amemaanisha kuwa mfumo wake yeyote akipata nafasi ya kufunga, anafunga na wala siyo jukumu la Mzize na Musonda pekee kufunga.Hivi Gamondi alivyokuwa anajidai kwamba kwa yanga hii kila mchezaji atafunga, alikuwa na maana kufunga Ramadhani au kufunga nini?
Maana kama ni kufunga magoli kwa huku cafcl hatujaona kitu.
Umekuwa muoga sana wa kuongea kitu cha kuihusu Yanga
Medeama ni vibonde ktk hilo group, nitawashangaa wananchi wakitoka uwanjani bila point
Hupendi tuseme kweli?Mmeshaanza kudevela makolo[emoji23]
Cheki kima huyuKwa ihefu, yanga mmekaa mara mbili, siyo kwa bahati bali ni: yanga hamna kitu.