Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Pengine 😂Leo ni siku Murua kwa yanga kukaa nafasi ya pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine 😂Leo ni siku Murua kwa yanga kukaa nafasi ya pili
Utarudi hapa kuniambia usisahauPengine 😂
1:3 = ✓3-1 Mwananchi anakula anatulia
Siku ya kubadili upepo na kuamsha matumaini ya kutinga fainali🤔.Wanajangwani kila kitu kinawezekana,tunawapindulia meza hao waghana.Match Day.
Ni siku nzito sana,
Siku inayoenda kutoa hatma ya Wanajangwani.
Medeama Vs Yanga.
Muda ni saa Moja Usiku.
Twende Sote.
Kila la Heri Wananchi
.Madeama piga hao kima bao 3 tu, waanze kufukuzana
Kutinga fainali ya cricket labdaSiku ya kubadili upepo na kuamsha matumaini ya kutinga fainali🤔.Wanajangwani kila kitu kinawezekana,tunawapindulia meza hao waghana.
Kikosi cha kumpiga mtu 5ha KIKOSI KINACHOANZA AZIZ KI BENCHINIView attachment 2836805
Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje 😂😀 ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,KIKOSI KINACHOANZA AZIZ KI BENCHINIView attachment 2836805
Aziz hajawa kwenye kiwango kizuri tangu ile mechi ya Algeria, gamondi afukunzwe kwanini ??? Amefikia malengo ya yanga (group stage ) kwanini afukuzwe ??Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje [emoji23][emoji3] ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,
Note: Niliwah kusema na leo naludia kusema haya mashindano yatamfukuzisha Gamondi kibarua,... Naona dalili zote zinajionyesha kwamba inaenda kutimia.
Kuna namna ushabiki unataka kutufanya tuwe wajinga, nilishangaa pia kuona Tau analinganishwa na Aziz, mtu anakwambia Pacome ni sawa ni Zidane.[emoji23]Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje [emoji23][emoji3] ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,
Note: Niliwah kusema na leo naludia kusema haya mashindano yatamfukuzisha Gamondi kibarua,... Naona dalili zote zinajionyesha kwamba inaenda kutimia.
Akili za jikoni hizi.Hahahhh si tulikubaliana Aziz ki ni nguzo na mhimili wa Timu ?. Isitoshe alifananishwa had na Kina percy Tau,... Vipi tena leo mbon nje [emoji23][emoji3] ila nmesikitika kumuona nje maan Topolo wakifungwa watapata kisingizio,
Note: Niliwah kusema na leo naludia kusema haya mashindano yatamfukuzisha Gamondi kibarua,... Naona dalili zote zinajionyesha kwamba inaenda kutimia.