Walivyo washamba watasema ni on target🤣🤣
Mnashangilia Offside
Mwamuzi yupo kaziniNdio offside gani ile?
Tunafunga mtanii, subiri uonee😀Mtaniii, tuliza presha , draw itatosha?
Mbona wewe unapetwa kila siku hatusemi?Penati ya tatu inapetwa
Mtafunga mama, 🤣🤣 ila sijui mtafunga niniTunafunga mtanii, subiri uonee😀