Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I wish angeingia na Mudathir ili mpira uchangamke zaidi. Hawa watoto wanafungika kabisa.Kuingia kwa Aziz Ki kumeubadili mchezo, wachezaji wakubwa katika mechi kubwa!
Ndio mjuage kuwa hamna timu yenye kikosi kipanaPengo kubwa mno, linatutesa.
Hapa hakusikii, vipi tukupe namba yake ya simu?Garmondi angemtoa Musonda na kumuingiza Mudathir Yahya ili kuchangamsha mchezo.
...👊👊👊Mudathir mechi inamwitaji hii.
Unahisi tutafunga milango ama? Ni magoli subirii au tuwekeane dau? Tukifunga utanilipa buku 10 eeh?Mtafunga mama, 🤣🤣 ila sijui mtafunga nini
kweli ila tu ukiwalinganisha na simba ndo wako juuIla hawa jamaa wa medeama wanauwezo mzuri sana wa ball balance.
Sawa, usije kukimbiaUnahisi tutafunga milango ama? Ni magoli subirii au tuwekeane dau? Tukifunga utanilipa buku 10 eeh?
Mkifuzu hatua ya Robo fainali na kuendelea mtaiona VAR.Aibu sana no VAR ?Africa is Africa