Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Ofusaidiiiiiiiiiiiii ya mchongoView attachment 2836908
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofusaidiiiiiiiiiiiii ya mchongoView attachment 2836908
"Kila msimu Simba Sc inaishia robo fainali"HV yanga fainali mliyosema mtacheza ni ya cricket au ni ya gofu? Ebu naomba mnikumbushe
Mkuki kwa nguruweUlikuwa nyepesi ile sio ya kuumiza kaka
Refa mpuuzi sana.
Itakuwa walimpa kibunda yule
Lakini mi dua yangu imekubaliwaTimu za Tanzania tuziombee kwakweli zina hali mbaya , bado huyu wa kesho tumuone
Kocha mwenyewe ana ma vidot mwili mzima utafikir kuku kanyonyolewa"Kila msimu Simba Sc inaishia robo fainali"
Nadhani sasa wanauona ugumu wa kupenya robo fainali CAFCL.
Itabidi yanga asubiri tena miaka 25 kuweza kuingia makundi! Hakuna kundi rahisi! Makundi rahisi yako kwenye kombe la losers! Huku mkia unawahusu kama ilivyokuwa miak 25 iliyopita!Kundi lina timu ngumu, hawa Medeama mbele sio mchezo, mechi ya marudiano kwa Yanga, Belouizdad na Al Ahly hawa jamaa watakufa na mtu. Hili kundi linaamuliwa hadi mechi za mwishoni, Belouizdad kafungwa na Medeama lakini kamkingia kifua Al Ahly. Yanga kama wangekuwa na wamaliziaji wazuri wangepata alama tatu leo, kundi bado ni gumu sana.
Sio kauli nzuri kwa binadamu mwenzioKocha mwenyewe ana ma vidot mwili mzima utafikir kuku kanyonyolewa
HahaaaaaaKwenye umitashumta yanga walikua wakifunga magoli mama samia alikua anawapa hela... Kumbe alikua anawalemaza
Aisee ..hili kundi bado,Utopolo waaweza kupenya!Itabidi yanga asubiri tena miaka 25 kuweza kuingia makundi! Hakuna kundi rahisi! Makundi rahisi yako kwenye kombe la losers! Huku mkia unawahusu kama ilivyokuwa miak 25 iliyopita!
Hii ni champions league sio ile umitashumta waliyocheza fainali last seasonAisee ..hili kundi bado,Utopolo waaweza kupenya!
Ana msongo wa mawazo kwa kuanzia benchi!! Amesusa!! Hilo shuti la direct kick si la Azizi Ki tunayemjua!Aziz ki nini kimempata hayupo mchezoni haonyeshi juhudi yoyote hii ni mechi ya tatu yupo yupo tu uwanjani
Hata mechi za belouzidad na Al ahly alianza lakini alikuwa chini kabisa ya Kiwango .Ana msongo wa mawazo kwa kuanzia benchi!! Amesusa!! Hilo shuti la direct kick si la Azizi Ki tunayemjua!
Kimahesabu bado kundi liko wazi! lakini niambie uto atapata pointi tatu toka kwa timu ipi? Tatizo lingine GD yake ni mbovu (-3)!! Kama uliwaona Medeama walivyocheza na Al Ahly ugenini mbele ya makelele ya waarabu, usitegemee makelele ya uto hapa bongo yatawashtua chochote!! Na hiyo ndiyo mechi pekee ya kujharibu kujikwamua!! Huko kwa waarabu hataambulia kitu!!Aisee ..hili kundi bado,Utopolo waaweza kupenya!
Bado rekodi iliyopo, utopolo 5- 1 Mijusi🤦🙄🙄🙄Hata goli la utopolo walifanya faulo refa akapeta
Tulisema Yanga atashika mkia mwanzo mwisho, na ndivyo ilivyo!!Si ndio nyie mlikuwa mnasema Yanga atamaliza bila point hata moja? Leo kiko wapi? kumbuka tuna mechi mbili za nyumbani bado.