FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

Sio goli la pili tu hata zile 5 nazo za Mkapa Stadium hazikuwa magoli mkuu. Kwenye Maruti mlisawazisha.
Hatukuelewana. Sikua natania. Nilikua namaanisha Utopwinho lile goli la offside lilikua goli halali linesman kawanyima goli. Ingekua kuna VAR mngepewa goli lenu mlistahili.
 
Kimahesabu bado kundi liko wazi! lakini niambie uto atapata pointi tatu toka kwa timu ipi? Tatizo lingine GD yake ni mbovu (-3)!! Kama uliwaona Medeama walivyocheza na Al Ahly ugenini mbele ya makelele ya waarabu, usitegemee makelele ya uto hapa bongo yatawashtua chochote!! Na hiyo ndiyo mechi pekee ya kujharibu kujikwamua!! Huko kwa waarabu hataambulia kitu!!
Mimi ni mshabiki w Simba ,ila huwa nayofautisha matakwa yangu na uhalisia! Yanga waeza fanya lolote...labda tuwaombee mabaya! Nafikiri Simba tujikite kwenye mambo yetu!
 
Kwa ufupi tu ni kwamba, msimamo wa kundi jinsi ulivyo hivi sasa ndivyo utakavyokuwa mpaka hatua ya makundi inamalizika.

Kama Kuna mabadiliko, basi yatatokea kwenye nafasi ya tatu na ya nne lakini Zile nafasi mbili za juu zitabaki kama zilivyo!
Mimi niliwaambia watu hilo swala kabla hata mechi hazijaanza, wakaniona mpumbavu
 
Ukiwasikia Wana yanga wanavyomu address Al ahly unaweza dhania wao ndio wanamjua zaidi kuliko hata simba anavyomjua al ahly.... Wasijue al ahly na simba Wana derby yao hapa Champions league
 
Ukiwasikia Wana yanga wanavyomu address Al ahly unaweza dhania wao ndio wanamjua zaidi kuliko hata simba anavyomjua al ahly.... Wasijue al ahly na simba Wana derby yao hapa Champions league
Achana na derby dhidi ya Al Ahyl

Hakikisheni mnapata hata droo au ushindi kabisa
 
Back
Top Bottom