BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Lolote lile liwakute. Uwezekano wa utopolo kupenye kwenye hili kundi ni ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu la sindanoView attachment 2836801
Ila we Fala umenichekesha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolote lile liwakute. Uwezekano wa utopolo kupenye kwenye hili kundi ni ni sawa na ngamia kupenye kwenye tundu la sindanoView attachment 2836801
1:3 = ✓
Nyie wenye timu bora mmetoa tenaHahaa mmekubali timu lenu bovu eeh haya tutawaona, kesho si mbali😀
Ukienda.kutafuta rekodi Kuna goli sitaBado rekodi iliyopo, utopolo 5- 1 Mijusi🤦🙄🙄🙄
Hatukuelewana. Sikua natania. Nilikua namaanisha Utopwinho lile goli la offside lilikua goli halali linesman kawanyima goli. Ingekua kuna VAR mngepewa goli lenu mlistahili.Sio goli la pili tu hata zile 5 nazo za Mkapa Stadium hazikuwa magoli mkuu. Kwenye Maruti mlisawazisha.
Kufuzu kwenda wapii ?? Unafikiri ni Azam cup hiiila bado ana nafas ya kufuzu japo yuko mkiani
Mimi ni mshabiki w Simba ,ila huwa nayofautisha matakwa yangu na uhalisia! Yanga waeza fanya lolote...labda tuwaombee mabaya! Nafikiri Simba tujikite kwenye mambo yetu!Kimahesabu bado kundi liko wazi! lakini niambie uto atapata pointi tatu toka kwa timu ipi? Tatizo lingine GD yake ni mbovu (-3)!! Kama uliwaona Medeama walivyocheza na Al Ahly ugenini mbele ya makelele ya waarabu, usitegemee makelele ya uto hapa bongo yatawashtua chochote!! Na hiyo ndiyo mechi pekee ya kujharibu kujikwamua!! Huko kwa waarabu hataambulia kitu!!
KumbeNamma Yanga anavyo cheza mechi zake ndivyo mashabiki wa Simba inawauma.
AahaaaaaKuna watu wana ongea sana ila waki kumbuka kesho Mwarabu mwenye O point kapania, furaha ina isha[emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi niliwaambia watu hilo swala kabla hata mechi hazijaanza, wakaniona mpumbavuKwa ufupi tu ni kwamba, msimamo wa kundi jinsi ulivyo hivi sasa ndivyo utakavyokuwa mpaka hatua ya makundi inamalizika.
Kama Kuna mabadiliko, basi yatatokea kwenye nafasi ya tatu na ya nne lakini Zile nafasi mbili za juu zitabaki kama zilivyo!
Mkifungwa leo na nyie mtashuka hapo hapo alipp YangaMimi niliwaambia watu hilo swala kabla hata mechi hazijaanza, wakaniona mpumbavu
Tulia wewe tukuoneshe jinsi ya kuzicheza hizi mechiMkifungwa leo na nyie mtashuka hapo hapo alipp Yanga
Kikubwa muombee droo
AaahaaaTulia wewe tukuoneshe jinsi ya kuzicheza hizi mechi
Achana na derby dhidi ya Al AhylUkiwasikia Wana yanga wanavyomu address Al ahly unaweza dhania wao ndio wanamjua zaidi kuliko hata simba anavyomjua al ahly.... Wasijue al ahly na simba Wana derby yao hapa Champions league
Huku champions league hatujawah kufeli.... Nbc tushawaachia nyie mhangaike nayo na wenzenu akina mtibwa sugarLeo simba anapigwa, chache sana 3-0
Mkuu wydad ndo kibonde kwenye hili kundi ni km yanga tu kwenye kundi lake... Asec na jwaneng wako pale juu yeye ndo kawapa point sasa mm naachaje kushinda 5Achana na derby dhidi ya Al Ahyl
Hakikisheni mnapata hata droo au ushindi kabisa