AaahaaaMkuu wydad ndo kibonde kwenye hili kundi ni km yanga tu kwenye kundi lake... Asec na jwaneng wako pale juu yeye ndo kawapa point sasa mm naachaje kushinda 5
Angekuwa kibonde angetoa droo ugenini?Mkuu wydad ndo kibonde kwenye hili kundi ni km yanga tu kwenye kundi lake... Asec na jwaneng wako pale juu yeye ndo kawapa point sasa mm naachaje kushinda 5
Ametoa droo na kibonde mwenzakeAngekuwa kibonde angetoa droo ugenini?
Hakikisheni leo mnapata droo au ushindiAmetoa droo na kibonde mwenzake
Mkuu tunashinda mapema. Kipindi cha kwanza tunaongoza 3 bilaHakikisheni leo mnapata droo au ushindi
Unanicheka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AahaaaaaNikiangalia msimamo Group D najisikia raha sana. Nakushukuru sana mungu ww ni mwema siku zote.
Hamsa zimewafukuzisha kolo tangu benchi,na hata kocha.Siku ukituona fainali najua mtaifukuza na kuifuta team yenu kabisa.
AahaaaaWajuba wamejifichia kwenye offside. Mkimaliza hapo mkumbuke kuhesabu point zenu
We NAE unatafuta attention si ukashtaki
Tuwe tunapunguza man3no,Kwa hiyo hata sisi Simba tulishindwa kuchukua Kombe la Umitashumta sembuse kucheza Nusu Fainali!Hii ni champions league sio ile umitashumta waliyocheza fainali last season
π π πZoazoa π€ !
Tunawasubiria mpigwe saa 4 sis ! π€π π π
Sis leo hunioni dada yako humu...mpka kesho asubui.. π πTunawasubiria mpigwe saa 4 sis ! π€
Maineeeeeee. Uniite Mbwa nimekaa pale kama mtamfunga hizo goli kipindi cha kwanza au cha pili au hata cha 6.Mkuu tunashinda mapema. Kipindi cha kwanza tunaongoza 3 bila
Hapana mnawamudu vizure tu sis 5imba mko gadoooπ€ π€ !Sis leo hunioni dada yako humu...mpka kesho asubui.. π π