Kyoma kyoma 🤠!labda kyoma kyoma Maxence Melo atanipa hilo rungu siku moja who knows..
Kama kawaida YANGA wanawapasia maadui
Vijana wana lack confo..
Dah!!
Yanga bado wanatafuta utulivu ili kuumudu mchezo.Mbona mpira haujatulia yaani ni butu butu Yanga wanapoteza mpira hovyo hovyo
Mr Accountant (CPA) za kwako usisahau kuweka maji....japo matumaini yapo...😂😂😂Ngumu kwenu, kwetu raha