Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatufungwi mkuu😀Madeama piga hao kima bao 3 tu, waanze kufukuzana
Huu mtazamo wa Yanga kukosa mshambuliaji aina ya Mayele, nimekuwa nikiutoa humu mara kwa mara. Hata kama wana kikosi bora, lakini ukweli mbadala wa Mayele ameprove failure.Nini maana ya kikosi Bora?
Nchi nyingi za kusini mwa jangwa la Sahara na hasa huko Africa magaribi watu wengi Huwa hawana passion kabisa na Soka la Africa pamoja na vipaji lukuki walivyonavyo ...na ndio maana unaona viwanja vyao viko tupu hivi.Hivi hizi nchi zingine mashabiki hua hakuna ? hawaruhusiwi? Au uchumi hoi sana?
Ni timu ndogo na haina maokoto ya kueleweka!!Hawa mediama wachezajinwake wanapaswa kuvaa viatu vya Adidas...si kwa kuteleza huko. Sijui wanavaa viatu vya aina gani?
Wote leo hakuna walichokifanya. Mzize amepoteza mipira mingi mpaka basi. Musonda naye anazunguka zunguka tu uwanjani. Hana madhara yoyote mapaka sasa.Musonda atoke abakie Mzize.
Kocha ana mipango yake na maono ya mbali, tusubiri tuone huenda ikazaa matundaKakosea sana angetoka msondaa
Sema kuna siku mchezaji anakupa furaha kuna siku ana kudis appoint...Wote leo hakuna walichokifanya. Mzize amepoteza mipira mingi mpaka basi. Musonda naye anazunguka zunguka tu uwanjani. Hana madhara yoyote mapaka sasa.
Mtaniii, tuliza presha , draw itatosha?Hatufungwi mkuu😀