Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
niqah, you okay upstairs..??Unakuja Tena kudanga ghna Sasa sura za Ghana utawapta wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niqah, you okay upstairs..??Unakuja Tena kudanga ghna Sasa sura za Ghana utawapta wapi
Kulikuwa na penati ngapi leo ambazo amezipeta za Medeama?Tuna changamoto sana ya Marefa,
Hivi wameshindwa nini kuiwekea hii michuano mikubwa hivi VAR?
Naona leo mneshinda.Hatufungwi mkuu😀
Yani pointi 3 hauna na jibu pia hauna?Sina naomba unijibu
Mechi ya mwisho dhidi ya timu ganiMechi ya leo na ile ya mwisho
Makolokolo SC fan ambaye hayuko kati ya Mbumbumbu kiakili [emoji120]Haha kweli hata lile goli la 2 ni goli halali. Hakukua na offside. Poleni utopwinho nafasi ya mkia iliwapenda zaidi.
Wewe point tatu unazo?Yani pointi 3 hauna na jibu pia hauna?
Cr BelouzidadMechi ya mwisho dhidi ya timu gani
MpfyuuuuuuuuuuuuSamahani mkuu, wewe ni wa kiume..?
Tutapata taarifa tu , lakini sio bure .Maybe Simba wanamtaka
Zoazoa 🤠!Huyo zoa zoa kashachukua nyota za maxi kibukta...
Au hawajalipwa posho zao?[emoji3]Hata Max naye kashuka sana kimchezo, sijui wamepatwa na nini hawa Watu.
Msimamo wa kundi ulivyo kwa sasa ndivyo utakavyokuwa hadi mwisho wa hatua hii ya makundi.Naona leo mneshinda.
Hivi huyu kocha wenu, fresh ya unga, mlimpata wapi? Na mna uhakika ni kocha kweli na siyo muuza mapapai?
Vipi kuhusu red card kwa lichezaji la Mediama?Kulikuwa na penati ngapi leo ambazo amezipeta za Medeama?
Kuna faulo ngapi ambazo Backa alizifanya na hakusimamisha mpira?
Ukitaka maamuzi ya refa yawe fair yanaweza kukuumiza na wewe.
Kuhusu offside hilo halina mjadala, ilikuwa ni clear na angeruhusu liwe goli ningeingia uwanjani japo nipo TZ
Refa mpuuzi sana.Ofusaidiiiiiiiiiiiii ya mchongoView attachment 2836908
Huyo dogo kaniuzi sana, zile nafasi alizopata angepata Lomalisa au Pacome. Tungekuwa tunaongea mengine.Ila Yanga Ipunguze Mbwembwe wakiwa kwenye Box.
Wakiangalia marudio ya hii mechi wanaweza kujifunza kitu.
Kibabage ni mdhaifu sana kwenye kufanya maamuzi.