Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...Kocha Garmond anatuhujumu hivi hivi! Mchezaji wake Guede mpaka sasa haendani kabisa na mfumo wa uchezaji wa Yanga!! Yaani hana tofauti na mtangulizi wake Hafiz Konkoni!
Kitendo cha kumuanzisha kwenye hii mechi kitasababisha timu kuelemewa wakati wote! Maana siyo mkabaji! Hana kasi ya uchezaji awapo uwanjani! Muda mwingi anasubiri aletewe mpira!!
Bora hata angeanza Mzize anayekosa magoli ya wazi, huku akijituma na kuwasumbua mabeki! Dah!! Hii ni kamari ya hatari sana kocha ameamua kuicheza.
Naahidi kumuomba huyu Guede msamaha hapa jukwaani baadaye, iwapo ataonesha maajabu kwenye hii mechi. Ila kiukweli ataisababisha timu kucheza pungufu kwa muda mwingi kutokana na aina yake ya uchezaji.
Namuonaa le captain ktk ubora wake.Captain Themba Zwane[emoji91][emoji91][emoji91]
sport 2Ila Dstv huu ndo muda wa tech difficult 😏😏😏😏 hii mechi azam wanaonesha?? Channel gani?
[emoji23][emoji23][emoji23] em tulizana weyee.Ila kikosi cha Yanga leo nachekea kitchen [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usigune mtani mnashinda goli saba bila
Sema iiiiii
Udugu nipo hapa nyumba nzima Simba kasoro mimi, nimewaambia mkinizingua naeka 114 tunaangalia movie za wachina 🤣🤣🤣🤣Tuliza presha, dkk 90 zitaamua nn kiwepo.
Duh!Nilijuwa na matumaini makubwa na yanga lakini kwa hiki kikosi hata tukipigwa 5 siwezi shangaaa
We umemuelewa Gamondi leo uduguu 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] em tulizana weyee.