Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
bado Shomari kapombe na Shabalala baadae saa 5Job amegeuzwa huku kama chapati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado Shomari kapombe na Shabalala baadae saa 5Job amegeuzwa huku kama chapati
[emoji14][emoji14][emoji14]Job amegeuzwa huku kama chapati
Kuna mwamba ame BET kaiwekea yanga 1,000,000/=
Mortuary labda .....😃😃Hivi humu ndani kuna watu wanafanya kazi sekta ya afya kweli..!? Mbona wanetu hamjui hata kufariji..??😂😂🙌
angenunua matofali aweke siteKuna mwamba ame BET kaiwekea yanga 1,000,0000/=
Duu,
Inaitaji roho ngumu 😊
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu acha zako bhana.Udugu nipo hapa nyumba nzima Simba kasoro mimi, nimewaambia mkinizingua naeka 114 tunaangalia movie za wachina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu tulia, mbona match iko wazi.We umemuelewa Gamondi leo uduguu [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona kaamua kuwakomoa mashabiki
Mpigwe tu, Mamelod mpaka FainaliKila lakheri chama langu Yanga piga hao kimoko tu🤸♀️😃
Mpigwe tu, Mamelod mpaka FainaliKila lakheri chama langu Yanga piga hao kimoko tu🤸♀️😃
Anatubeba hapo🤣🤣Diarra ni Mkubwa kuliko hiki anachofanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila mamelodi yanashambulia dah! Ile kona bado kidogo watupige mbwa hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]