Duh!ππ
Satano mbali basii..?? Mtadundishwa kama kitenesi watoto wa Mo'..!
Ww bado una hasira za jana π€£π€£π€£π€£mbwebwe zote za wiki iliyopita zimekuisha Ndio maana umezidiwa uzuri na watoto wa kizuru
ili twende penalt sioLeo Diarra lazma atubebe kwa kupoteza muda
Kariakoo inatuwakilisha.
Sababu hatuna kazi za kufanya sio ?...ππJamaa wameshindwa kujaza uwanja. Ni kuwa wapo busy na majukumu ya kukuza uchumi?
Tanzania tupewe heshima ya kujaza uwanja.
Yeah so far yanga wamejitahidiBoli linatembea