Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu, acha kurusha roho wananzengo.Unabanaa wee dk za 80 unq pigwa kimoko
Tunatiwa aibuYangaa bado mnasafari ndefu sana
yaani Dakika 45 zote mna pass 93..
Sasa mmeemda kufanya Nini Uwanjani
View attachment 2954874
Angalia mpira acha bla bla[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2954875
Aende aingie ata Cha pombe ana Kasi,atasaidia koteKwa mpira wa leo ile ni nafasi ya dhahabu, alitakiwa tu kutoa assist kwa Aziz Ki pale amalize shughuli.
Ila ngapi ngapi hadi sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23] Maseko tunae, na hana bayaa.Au muwaazime Boko
Mpira ni magoli Dr...😃😃Yangaa bado mnasafari ndefu sana
yaani Dakika 45 zote mna pass 93..
Sasa mmeemda kufanya Nini Uwanjani
View attachment 2954874
Ni plan inayoonekana kufanya kazi, inaweza kuwavusha.Uto wapo golini kwao hawaonekani kushambulia wala kupanga mipango ya kushambulia wanasubiri muda uende mpira uishe droo wapige matuta
Kwahiyo logo ya Yanga hawaifahamu?Yangaa bado mnasafari ndefu sana
yaani Dakika 45 zote mna pass 93..
Sasa mmeemda kufanya Nini Uwanjani
View attachment 2954874
Tulia dawa ikuingie rafu fcMasandakolozdad mmeacha uzi wenu mmekuja huku kunafikia, hii ndio Bongo [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
NdioKwahiyo logo ya Yanga hawaifahamu?
Mpira ndo nimeangalia,Nasubiri kipindi cha piliAngalia mpira acha bla bla