FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

All the best makolo
Ila nyie sijui hata km mna pumzi ya kufika penalt
 
Bacca fala hawa wachezaji walimbato sana kabla ya mechi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nani hajui ukatili wa mpira duniani
 
Ila wamezingua kinouma hawa wapiga penalty na Aziz Ki yule demu wake ndio kammaliza nguvu, midada ya kibongo inapenda sana kudinywa πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Ila wamezingua kinouma hawa wapiga penalty na Aziz Ki yule demu wake ndio kammaliza nguvu, midada ya kibongo inapenda sana kudinywa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Aziz ki anafunga ndani, eti penalty anakosaaa khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…