FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Solidarity ya nyokweee, haya 12 Aprili mrudi kwenye ligi yenu kupambania nafasi tena.
 
Kama akili zenyewe ndio hizi, ningekuwa Rage ningewatia vidole na kuwanusisha mashabiki wote wa Simba nchi nzima maana ni zaidi ya Mambumbumbu. Haya ni misukule kabisa.
Bado unaonesha ni jinsi gani umejaza matope kichwani.kati ya wewe na refa na var nani alikuwa uwanjani?
 
FB_IMG_17123761173641699.jpg
IMG_20240406_080346_131.jpg
 
Ninyi mshagongwa buyu mbili tulieni 😁
Yanga tunahaki ya kupelekea mbele malalamiko, upi msaada wa VAR.
Usichokijua VAR haina mamlaka ya kusema goli au sio goli.maamuzi yanabaki kwa refa na wale watu wa VAR.goal line technology ndio inaweza kusema goli au sio goli.sasa basi msilete lawama.ilaumuni technology ambayo HAIJAWEKWA.
 
Back
Top Bottom