Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngojea nikuache kazi kujadiliana na mbishani.Wewe huko buza huko ndo umeona goal.ila walioko uwanjani hawajaona goal ?
Hata kwenye matuta mlionewa?Kwa kuonewa
We uliwaonaje wachezaji baada ya kukataliwa lile goli?Hata kwenye matuta mlionewa?
Aziz ki naye alionewa na kukosa penati?
Hilo goal mmeliona nyie utopolo tu.wa buza.refa na var wapo sauziWewe ni Shabiki Maandazi!! Penda timu na mchezo na sio kupenda timu pekee!
Uto...wamekufa kiume...Tangu lini walevi wakashambulia?
Gamondi atalaumiwa bure tu hakuna washambuliaji hapo
Kama akili zenyewe ndio hizi, ningekuwa Rage ningewatia vidole na kuwanusisha mashabiki wote wa Simba nchi nzima maana ni zaidi ya Mambumbumbu. Haya ni misukule kabisa.Hilo goal mmeliona nyie utopolo tu.wa buza.refa na var wapo sauzi
Bado unaonesha ni jinsi gani umejaza matope kichwani.kati ya wewe na refa na var nani alikuwa uwanjani?Kama akili zenyewe ndio hizi, ningekuwa Rage ningewatia vidole na kuwanusisha mashabiki wote wa Simba nchi nzima maana ni zaidi ya Mambumbumbu. Haya ni misukule kabisa.
Ninyi mshagongwa buyu mbili tulieni 😁Mnatupotezea muda
Usichokijua VAR haina mamlaka ya kusema goli au sio goli.maamuzi yanabaki kwa refa na wale watu wa VAR.goal line technology ndio inaweza kusema goli au sio goli.sasa basi msilete lawama.ilaumuni technology ambayo HAIJAWEKWA.Ninyi mshagongwa buyu mbili tulieni 😁
Yanga tunahaki ya kupelekea mbele malalamiko, upi msaada wa VAR.
Waseme goli waje Kututukana 🤣🤣🤣.tungemficha wapi manaraJambo la msingi na la muhimu ni Yanga kutolewa......hayo mengine ni upuuzi........mji ungekuwa mgumu sana huu.......dah!!
Dah!!!Waseme goli waje Kututukana 🤣🤣🤣.tungemficha wapi manara
Kupindisha haki za waziwazi kunafanya mpira wa Africa kuwa wa hovyo, na caf yenyewe kuwa ya hovyo hovyo.Waseme goli waje Kututukana 🤣🤣🤣.tungemficha wapi manara