mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hakuna aliyepindisha ni technology ndo imewaua.ila mimi siamini kama ni goliKupindisha haki za waziwazi kunafanya mpira wa Africa kuwa wa hovyo, na caf yenyewe kuwa ya hovyo hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliyepindisha ni technology ndo imewaua.ila mimi siamini kama ni goliKupindisha haki za waziwazi kunafanya mpira wa Africa kuwa wa hovyo, na caf yenyewe kuwa ya hovyo hovyo.
Lakini pia tusimsahau na huyu mdau wetuDah!!!
Yaani yule refa kajua kutuepusha na balaa......Mungu ambariki Sana
Sema wamegongwa nje ndani bao 3 ( pakiti )Ninyi mshagongwa buyu mbili tulieni 😁
Yanga tunahaki ya kupelekea mbele malalamiko, upi msaada wa VAR.
Hawa ndio watu wenye maono sasaLakini pia tusimsahau na huyu mdau wetu
Kipindi hicho Yanga alikuwa wapi?Ina maana umeshasahau au umeamua tu kujizima data? Sikumbuki mwaka lakini nakumbuka uzembe ambao tuliufanya na Gwaneng Galax ambae tulimpiga 2-0 kwao halafu kwa Mkapa akatupiga 3-1, kwahiyo tukaaga Champions tukenda Confederation ambayo tulitolewa Robo kwa matuta nadhani na Kaizer Chiefs au Orlando Pirates. Ni juzikati tu hapa, kama sio 2021/2022 basi 2022/2023
Kipindi hicho Yanga alikuwa ametolewa shirikisho?Swali hujawahi shiriki?. Umefka hatua gani?.
Goli line technology lini imetumika Africa?,Usichokijua VAR haina mamlaka ya kusema goli au sio goli.maamuzi yanabaki kwa refa na wale watu wa VAR.goal line technology ndio inaweza kusema goli au sio goli.sasa basi msilete lawama.ilaumuni technology ambayo HAIJAWEKWA.
Mmegongwa mbele na nyuma,nani akupotezee muda na ushaharibiwa kotekoteMnatupotezea muda
Mngemfunga 5-0 Mamelod kwa Mkapa haya yote yasingekuwepo😁😁😁😁Refa pia hajaangalia amesubili kuambiwa kutoka chumba cha var
Yanga hatuwadai mkuu
Wameshindwa kupiga penati wanasingizia ushuzi wa ngomani.Mngepata penat