FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Attachments

  • Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    75.4 KB · Views: 1
Ina maana umeshasahau au umeamua tu kujizima data? Sikumbuki mwaka lakini nakumbuka uzembe ambao tuliufanya na Gwaneng Galax ambae tulimpiga 2-0 kwao halafu kwa Mkapa akatupiga 3-1, kwahiyo tukaaga Champions tukenda Confederation ambayo tulitolewa Robo kwa matuta nadhani na Kaizer Chiefs au Orlando Pirates. Ni juzikati tu hapa, kama sio 2021/2022 basi 2022/2023
Kipindi hicho Yanga alikuwa wapi?
Unapokuja kuzungumzia shirikisho yenu ya medali, Simba hakucheza shirikisho.😁😁😁
Ni sawa na wanafunzi wawili, mwaka 2022 walifanya mtihani wa darasa la 4 kuingia darasa la 5. Mmoja akafaulu na mwingine akafeli. 2023, Mmoja aliyeingia darasa 5 (Simba) akafanya mtihani akawa wa 4 na aliyebaki darasa la 4 (Yanga) akafanya mtihani akawa wa 2, sasa wa darasa la 4 aliyefeli kuingia darasa la 5, anamtambia wa darasa la 5 kuwa yeye amekuwa pili na kipindi hicho alisoma darasa la 4 hakuwahi kuwa wa 2 darasa la 4).
Ndicho unachozungumzia
 
Swali hujawahi shiriki?. Umefka hatua gani?.
Kipindi hicho Yanga alikuwa ametolewa shirikisho?
1. Kipindi Simba anacheza shirikisho mpaka robo fainali Yanga alikuwa ametolewa kitambo sana
2. Kipindi Simba anacheza Champion League mpk robo fainal, Yanga anacheza shirikisho.
Sijui unazungumzia shirikisho au champion?
 

#Vipofu angalieni goal halali hapa.
 
Back
Top Bottom