Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba Africa ni ngono tu twaweza?
Ile ya kibu alijiangusha usitake tu balance vitu
Kuvuka 100% kunaangaliwa kiwango gani cha mstari??Kwa goal line tech ni lazima mpira uvuke 100% ndio liwe goal sio 80%
Sawa tu ila chuma kimelia hata kama wamekataaAziz ki, Job, na bacca ndo walipangwa wainyime yanga ushindi na watoleweee?
Diarra si alikua anapoteza muda ili waende matuta, anamjua Williams au anamsikia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kujiliwaza kishujaa sana.Mlifikiri mtaenda na marefa wenu?Na bado hamjaona kitu.Bado.Sawa tu ila chuma kimelia hata kama wamekataa
Hapana nipe maana mkuuNilikuambia unapoenda crying room usifunge mlango sijui ulielewa maana yake?
Bro usibishane na huyo jamaa.Kama akili zenyewe ndio hizi, ningekuwa Rage ningewatia vidole na kuwanusisha mashabiki wote wa Simba nchi nzima maana ni zaidi ya Mambumbumbu. Haya ni misukule kabisa.
Ngono hata mikoani hatuioniKuna kujiangusha kwa vile? Ndio ni ngono tu kipi kingine kinaendaga kihalali? Siasa hola michezo mingine hola,
Hakuna Uonevu wowote..Kila mwenye akili timamu amejionea uonevu kwa timu za Tanzania,,, yanga kanyimwa clear goal, lakini pia Simba kanyimwa clear penalty ya kibu d.
Kinachowezekana kufanywa Africa kihalali ni ngono tu huku kwingine kote zero kabisa
Hakuna aliyepindisha ni technology ndo imewaua.ila mimi siamini kama ni goli
huku ni kukosa uzalendo au ni seme exposure kwa hali ya juuJambo la msingi na la muhimu ni Yanga kutolewa......hayo mengine ni upuuzi........mji ungekuwa mgumu sana huu.......dah!!
🤣🤣🤣🤣 Waafrika tujikite kwenye ngono tuu huko kwengine tunaforce mamboKila mwenye akili timamu amejionea uonevu kwa timu za Tanzania,,, yanga kanyimwa clear goal, lakini pia Simba kanyimwa clear penalty ya kibu d.
Kinachowezekana kufanywa Africa kihalali ni ngono tu huku kwingine kote zero kabisa
Ukiwa unachambua mpira weka ushabiki pembeni, sema uhalisia vinginevyo hakuna unachokifanya.Aziz ki, Job, na bacca ndo walipangwa wainyime yanga ushindi na watoleweee?
Diarra si alikua anapoteza muda ili waende matuta, anamjua Williams au anamsikia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Refa alijua huu nikienda kuangalia var itakuwa msala.Usitudanganye bhana nani asiyejua hiyo tech?
Goal line tech inaeleza asilimia 80 ya circumference ya mpira ikivuka goal line hilo ni goli.
WEWE MPAKA KIVULI CHA MPIRA KILIKUA NDANI UTASEMAJE SIO GOLI!?
Refa foul alikua akienda kutizama video zake mbona goli hakuenda tizama aamue!?
Pumbavu zenu wote, mmetolewa mnakuja kuleta unyumbu hapa.Wameshindwa kupiga penati wanasingizia ushuzi wa ngomani.
Ni bora tukose sifa kuliko kuvumilia matusi na masimango ya Yanga ingetinga nusu fainali......huku ni kukosa uzalendo au ni seme exposure kwa hali ya juu
Watu hawajui kwamba, timu ikipita inatangaza Nchi na hivyo kutunufaisha kiuchumi; Mnawazia tu usimba na Uyanga!
Na hiki ndicho kilifanya waafrika wakatawaliwa na wazungu kwa kuwa wengi hawana maarifa!!!