FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Kipindi hicho Yanga alikuwa wapi?
Unapokuja kuzungumzia shirikisho yenu ya medali, Simba hakucheza shirikisho.😁😁😁
Ni sawa na wanafunzi wawili, mwaka 2022 walifanya mtihani wa darasa la 4 kuingia darasa la 5. Mmoja akafaulu na mwingine akafeli. 2023, Mmoja aliyeingia darasa 5 (Simba) akafanya mtihani akawa wa 4 na aliyebaki darasa la 4 (Yanga) akafanya mtihani akawa wa 2, sasa wa darasa la 4 aliyefeli kuingia darasa la 5, anamtambia wa darasa la 5 kuwa yeye amekuwa pili na kipindi hicho alisoma darasa la 4 hakuwahi kuwa wa 2 darasa la 4).
Ndicho unachozungumzia
Yanga wako Mbali sana
 
Lakini tukumbuke Timu za ligi kuu Nbc zinapelekeshwa na hizi timu Mbili nchini.
Dhulma karibia killa mechi wamesahau na hadi kudhulumiana wao kwa wao.
Yakiwakuta huko kelele nyiingi. Acheni huku na kwingine haki itapatikana.
Goli au sio goli angle za Camera zipo hovyo huwezi amua 100%, isipokuwa namuunga mkono kocha wa Yanga kwa nini refa hajaenda kuangalia VAR?
PIli Yanga nao maamuzi mawili yamewabeba, Refa kapeta. Lakini timu bora imevuka, hata Goli la Al Ahly la Penalt la pili sio hali dhidi ya Simba, pale waligongana.
Maliza mechi kwa Mkapa. Usisubiri uvuke au usivuke ndio utaiweza Caf Champiions league.
 
Lakini tukumbuke Timu za ligi kuu Nbc zinapelekeshwa na hizi timu Mbili nchini.
Dhulma karibia killa mechi wamesahau na hadi kudhulumiana wao kwa wao.
Yakiwakuta huko kelele nyiingi. Acheni huku na kwingine haki itapatikana.
Goli au sio goli angle za Camera zipo hovyo huwezi amua 100%, isipokuwa namuunga mkono kocha wa Yanga kwa nini refa hajaenda kuangalia VAR?
PIli Yanga nao maamuzi mawili yamewabeba, Refa kapeta. Lakini timu bora imevuka, hata Goli la Al Ahly la Penalt la pili sio hali dhidi ya Simba, pale waligongana.
Maliza mechi kwa Mkapa. Usisubiri uvuke au usivuke ndio utaiweza Caf Champiions league.
Basi sawa, kuna kesho
 
Sasa nilicho ongea uongo ni kipii? Km kweli Yanga walistahili kushinda hii match, si penalt zilipigwa walishindwa vipii?

Au wee unataka kusemajee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Penalty huwa hazina wenyewe
 
Zina wenyewe, na wenyewe ni Mamelodi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20240406-091527~2.png

Hawa SABC walishaandika Goli
 
Jambo la msingi na la muhimu ni Yanga kutolewa......hayo mengine ni upuuzi........mji ungekuwa mgumu sana huu.......dah!!
Bora umeonesha rangi halisi ya u-Yuda Iskariote(unafki) kuwa furaha yako Yanga katolewa hata kama kaonewa maana Dar ingekuwa Jehanamu kwa Makolokolo [emoji38]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom