BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.Hii match imesaidia sana kuficha aibu yetu.
Huko kwenye Mapage ya CAF wanapost game ya Yetu na Al Ahly ila comments zote ni za Uto kuonewa [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa mbona wee uliyetoka droo nje ndani unalia mnoo? Shida nn?Mnajisahaulisha Kama vile hamjapigwa nje ndani...
Hahaaaaa na nyie humu JF na kwenye mitandao ya kijamii mmejifichia huko owa yanga. Kila mwanasimba wanapost habari za Yanga wao wanajisahaulisha, Mapumbavu kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.
Kikubwa kubali umetolewaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]Asingefanya usahihi bila ya mbeleko ya Refa na VAR kwa maelekezo ya Rais wa CAF kukataa goli halali la Aziz Ki, kikubwa nguvu za chapaa si Africa bali popote duniani.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi tumeshazoea, na tukaitwa mwakarobo, sasa ajabu nn? UwiiiiihHahaaaaa na nyie humu JF na kwenye mitandao ya kijamii mmejifichia huko owa yanga. Kila mwanasimba wanapost habari za Yanga wao wanajisahaulisha, Mapumbavu kabisa.
Hao ni kweli ni Mambumbumbu na kwa hili wanajitoa ufahamu pia kwani kichaka chao cha Robo fainali ya CAFCL kimefyekwa.Mtani hivi mi na wewe nani kaduwaa jamani? π€£π€£
Uto au makolo ndio mmevurugwa??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.
Ambalo limeishia robo kama katimu kadogo ka yangaIla Yanga, ni litimu likuuubwa hivi.
Simba si inajulikana mwisho ni robo? Sasa ijadiliwe ya nini?Uto au makolo ndio mmevurugwa??
Yanga kutolewa imewafichia aibu maana kila mtu huzungumzia mechi ya yanga kias simba kusahaulika.
Unajishusha hadhi huo sio ushabiki sasaIngekua balaaa mkuu...Mungu anajua kutubalance shobo...
Tulia mpwa... π€£ π€£Unajishusha hadhi huo sio ushabiki sasa
Atulie kabisa yaniTulia mpwa... π€£ π€£
Achana naye kashajifia kapigwa nje na ndani huyo π€£π€£π€£π€£
Aaah hamna kaka kujadiliwa ilitakiwa ijadiliwe kama ilivyo ada.Simba si inajulikana mwisho ni robo? Sasa ijadiliwe ya nini?
Ntampiga na navyopiga vibaya πAchana naye kashajifia kapigwa nje na ndani huyo π€£π€£π€£π€£