FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Wakuu jana tumenyimwa goli la wazi, nimeumia ila ndo hivo hua inatokea ila kingine kilichonishangaza mbona baada ya mpira kutoka golini mwa Mamelodi ukapigwa kichwa na mchezaji wa mamelodi ukatoka nje mbona haikutengwa kona?
 
Hii match imesaidia sana kuficha aibu yetu.

Huko kwenye Mapage ya CAF wanapost game ya Yetu na Al Ahly ila comments zote ni za Uto kuonewa [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.
Hahaaaaa na nyie humu JF na kwenye mitandao ya kijamii mmejifichia huko owa yanga. Kila mwanasimba wanapost habari za Yanga wao wanajisahaulisha, Mapumbavu kabisa.
 
Hahaaaaa na nyie humu JF na kwenye mitandao ya kijamii mmejifichia huko owa yanga. Kila mwanasimba wanapost habari za Yanga wao wanajisahaulisha, Mapumbavu kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi tumeshazoea, na tukaitwa mwakarobo, sasa ajabu nn? Uwiiiiih
 
Mtani hivi mi na wewe nani kaduwaa jamani? 🤣🤣
Hao ni kweli ni Mambumbumbu na kwa hili wanajitoa ufahamu pia kwani kichaka chao cha Robo fainali ya CAFCL kimefyekwa.

Ukitaka kuona hawa jamaa ni mapang'ang'a na Yamelogwa sio bure alafu mbaya zaidi hata watu ambao unawajua ni wasomi na watu wazima angalia comments zao na namna walivyoizungumzia Yanga toka walipopangwa na Mamelodi na sasa kujifichia kwenye kotolewa Yanga kama wao wameshinda vile. Kusoma comments zao hadi kichefuchefu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wana uto wamevurugwaa balaa. Wakamatwe haraka watatoroka hawa.
Uto au makolo ndio mmevurugwa??
Yanga kutolewa imewafichia aibu maana kila mtu huzungumzia mechi ya yanga kias simba kusahaulika.
 
Uto au makolo ndio mmevurugwa??
Yanga kutolewa imewafichia aibu maana kila mtu huzungumzia mechi ya yanga kias simba kusahaulika.
Simba si inajulikana mwisho ni robo? Sasa ijadiliwe ya nini?
 
images.jpeg
 
Back
Top Bottom