FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Lomalisa atulie, anaweza kupewa red, afu akawagharimu wenzie.
 
Sasa kama amtaki kutoka mna paki bus la nini[emoji81][emoji81]msako uko pale pale CAF sio ya waoga ni either wawafunge au mjifunge[emoji81][emoji81]
 
Acha alinde vipaji vyao. Report ya Daktari ndiyo inapelekea kocha kuwapumzisha.
Tukienda nusu fainali mtamshukuru kocha.
Wanazingua, siku ile niliwakera simba walianza sikuwa na wasiwasi, leo yamenikuta nimejikuta nakuwa mkali km pilipili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu mfumo wa kupaki basi na pia kupoteza muda hauwezi kabisa kutusaidia wananchi. Tunatakiwa tuongeze kasi ya mchezo.
iyo kasi ya mchezo ikusaidie nin
 
Haya majitu yametukosa kosa tena 🤣🤣🤣🤣
Aiseee!! Leo tumeingia cha she
 
Leo una raha mamelod yanavyotushambulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa udugu, natazama mpira tyuh mie.

Najiwazia baadae itakuajee.
 
Haya majitu yametukosa kosa tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseee!! Leo tumeingia cha she
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em tuache bhana, khaaah
 
Back
Top Bottom