Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitapeli cha kuchomekea kimepoteza nafasi.Yangaa bado mnasafari ndefu sana
yaani Dakika 45 zote mna pass 93..
Sasa mmeemda kufanya Nini Uwanjani
View attachment 2954874
Unaongea kishabikiMpira ndo nimeangalia,Nasubiri kipindi cha pili
Naona mnatutia AIBU TU HAPA
Bado mechi ya Simba Haijachezwa Mkuu hii ni 2nd LegTactic
Hawajafungwa
Simba dk 6 tu walishapanua nyoro
Umetukanwa wapi Kolo FC.Mpo fit kwenye kulewa na kutukana Ila CAFCL haipo kwa walevi na watukanaji, siku mkiacha ulevi na kutukana mtasonga mbele.
Kwa sasa bado sana 🐸🐸
Huenda kashushia Madiba wineAziz leo mzitooo sijui kawaje
Tbc 1Naomba Niulize Wadau,Kwenye Dstv ni chanel gani,Namba ngapi?Itaonyesha CAF champions League??? Mamelody Vs Young Africans?
RamliBado mechi ya Simba Haijachezwa Mkuu hii ni 2nd Leg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga wanaboa kama app ya JF
Hakuna tuta apa,goli lipo ndañi ya dakika kumi ,yanga anamkojolea mtuHii match naiona inaenda matuta,