Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penati ni bahati tuIla wamezingua kinouma hawa wapiga penalty na Aziz Ki yule demu wake ndio kammaliza nguvu, midada ya kibongo inapenda sana kudinywa 🤣🤣🤣🤣😂
Mungu ampe maisha marefu sana refa pamoja na uzao wake woteAFADHALI WAMETOLEWA.....SIJUI TUNGEWEKA WAPI SURA ZETU.....
Kufa kiume ya kwanza.Big up sana kwa Yanga kwa kukaza na kwenda hadi matuta na Mamelodi. Yanga ni mwanaume,
Sema lile goli la Ki wamefanya unyama, lile ni goli kabisa.
Lomalisa na Nzengeli wasingekosa zile penalties!
What a loss! 😭😭
Hatuna wapiga penalty, umesahau ule msimu na geita gold tulishinda penalty 11-10Lomalisa na Nzengeli wasingekosa zile penalties!
What a loss! 😭😭
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napumua sasa.Bacca fala hawa wachezaji walimbato sana kabla ya mechi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Williams sikio zake Zina antenaIla wamezingua kinouma hawa wapiga penalty na Aziz Ki yule demu wake ndio kammaliza nguvu, midada ya kibongo inapenda sana kudinywa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Ni wazi mamelodi kabebwaHili zimwi la kubebwa litawatafuna CAF na kiongozi wao.
Aisee hii mechi yanga alitakiwa kupita.
KUANZIA LEO SITIZAMI CAFCL WALA CAFCC TENA.
Nitaishabikia Yanga NBC pl
🤣🤣🤣🤣 Nitag nije niwashangilie watani huenda mkawafunga mafirauniWacha basi, unatuharibia udhu. Twende kule kwa Al Ahly basi.
We mdangaji tuliaIla wamezingua kinouma hawa wapiga penalty na Aziz Ki yule demu wake ndio kammaliza nguvu, midada ya kibongo inapenda sana kudinywa 🤣🤣🤣🤣😂
Naku~ZoomNAKAZIA
Yanga SC bado fitina nnje ya uwanja hajajua kabisa, imekuwaje walinyimwa goli dhidi ya Mediama SC tena leo 05/04/2024 wananyimwa goli halali?Sema lile goli la Ki wamefanya unyama, lile ni goli kabisa.