Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Kipindi Simba anacheza Champion League na Yanga anacheza Confederation.Bado Nafasi Ipo 2025
Yanga anamaliza mshindi wa pili Confederation anakuja kumtambia Simba aliyeishia robo fainail champion league halafu wanajiona kidume kucheza ligi ya watoto shirikisho😁😁😁😁
Inakuaje una medali za shirikisho halafu mamelod hana halafu anakutoa champion league?😁😁😁