Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
😂😂😂
Tusingelala
Tusingelala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kichwa kinaumaSijui ni stress, nimehisi njaa nikarudi zangu kula na wakati nilikula samoja kabisa..
Maiti tyr ishapakiliwa ktk ndege.. kesho mapema tu tunaiokota hapo JNIA tyr kwa kuifukia kama mbwa.tunazika au tunasafirisha
Wewe sasa ndio kati ya wale mbumbumbu alio wasema Rage.Kipindi Simba anacheza Champion League na Yanga anacheza Confederation.
Yanga anamaliza mshindi wa pili Confederation anakuja kumtambia Simba aliyeishia robo fainail champion league halafu wanajiona kidume kucheza ligi ya watoto shirikisho[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Inakuaje una medali za shirikisho halafu mamelod hana halafu anakutoa champion league?[emoji16][emoji16][emoji16]
Makolokolo wenye uelewa wa mpira TZ.Kama umefuatilia maamuzi ya kubumba yaliyohusisha VAR utaona mengi yaliyotolewa bila refa kwenda kwenye screen kujiridhisha.
Ukiona tu anawasiliana na microphone ujue hapo baasi kuna ujanja ujanja unafanyika.
Kuna uwezekano hata ile microphone hayakuwa mazungumzo kati ya VAR control room sometimes inaweza kuwa ni tajiri anamuambia refa peta hilo goli kuna hela yako huku nje.
Hiyo shirikisho hujawahi kucheza? Umeisha hatua gani?.Kipindi Simba anacheza Champion League na Yanga anacheza Confederation.
Yanga anamaliza mshindi wa pili Confederation anakuja kumtambia Simba aliyeishia robo fainail champion league halafu wanajiona kidume kucheza ligi ya watoto shirikisho😁😁😁😁
Inakuaje una medali za shirikisho halafu mamelod hana halafu anakutoa champion league?😁😁😁
Cc.mzizeYanga wamejiharibia Benjamin Mkapa.
Ile mechi wangepambana wasingefika kwenye matuta
😆😆😆😆😆😆😆Kaamua kuwabeba, sahivi anachekea chooni na bahasha kaweka kwenye kibukta chake
unaongea upumbavuYanga ni mfano wa matumizi Mabaya ya fedha za walipa kodi hadi sasa, Ile 45m LAZIMA wairejeshe Serikalini
huyu dogo nae anazingua sanaCc.mzize
🤣🤣🤣🤣Ufanye mwenyewe 😏😏😏😏
Usitudanganye bhana nani asiyejua hiyo tech?Na kuhusu lile goli wala msilalamike.goal line technology inasema.mpira unatakiwa uingie wote bila kugusa mstari.pale kwa kamera za azam kwa kuwa zipo katikati. Zinaonesha mpira upo ndani.ila var imeona mpira umegusa mstari.yote kwa yote.KARMA IS REAL. What goes around comes around. Usiku mwema