mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kamshtaki kwanza huyu..inakuwaje rais wa timu aseme hayaYanga walishinda ndani ya dk 90 hawa cuf tutakwenda kuwashtakia fifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamshtaki kwanza huyu..inakuwaje rais wa timu aseme hayaYanga walishinda ndani ya dk 90 hawa cuf tutakwenda kuwashtakia fifa
Wambie wakalale afrika kusini kesho waje na ndege ya kwanza nauli kwanguNa ndio kinachofata watapiga lindo na mbwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaambiwa maiti imeharibika vibaya sanaaaaaaMaiti tyr ishapakiliwa ktk ndege.. kesho mapema tu tunaiokota hapo JNIA tyr kwa kuifukia kama mbwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetoka kutoka Mlima Kilimanjaro hadi Everest!!
Simba SC kinachowaponza ni Tajiri wenu tu kiusajili, akiwa sirias hakuna Utopolo atayetamani kusogea karibu nanyi kimchezo.Tumeshachapwa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amani gani? [emoji23][emoji23][emoji23]Abeeh na emoji hizo tena? Hamna Amani hapa
Hebu sema kweli mtani? [emoji23][emoji23][emoji23]Simba SC kinachowaponza ni Tajiri wenu tu kiusajili, akiwa sirias hakuna Utopolo atayetamani kusogea karibu nanyi kimchezo.
Hayo mbona yanaonyesha![]()
![]()
huko ndo watatolewa mapemaa.![]()
Hoja ya pili.uingereza marefa wanavaa saa ambayo kama goli litakuwa limeingia .ile saa inatoa mlio.je refa alikuwa nayo?je goal line technology ilikuwepo leo?.mlaumu azizi ki kugongesha mwamba.alishindwa vipi kupunguza kipimo?🤣🤣🤣🤣Usitudanganye bhana nani asiyejua hiyo tech?
Goal line tech inaeleza asilimia 80 ya circumference ya mpira ikivuka goal line hilo ni goli.
WEWE MPAKA KIVULI CHA MPIRA KILIKUA NDANI UTASEMAJE SIO GOLI!?
Refa foul alikua akienda kutizama video zake mbona goli hakuenda tizama aamue!?
Dada uko bize na vicheko tu mi sielewi hapaAmani gani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Refa pia hajaangalia amesubili kuambiwa kutoka chumba cha varVAR zote. Huwa runaonyeshwa real view ya footage kuonyesha mpira kama ulikuwa ndani wote au nusu au robo tatu. Mbona hii ya Sundown anaangalia refa tu hata sisi wadau hatuonyeshwi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo mbona yanaonyesha
Relaaaxxx mtani, [emoji23][emoji23][emoji23]Dada uko bize na vicheko tu mi sielewi hapa
Sielewi ujue na mvua nayo imekazana😃Relaaaxxx mtani, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa goal line tech ni lazima mpira uvuke 100% ndio liwe goal sio 80%Usitudanganye bhana nani asiyejua hiyo tech?
Goal line tech inaeleza asilimia 80 ya circumference ya mpira ikivuka goal line hilo ni goli.
WEWE MPAKA KIVULI CHA MPIRA KILIKUA NDANI UTASEMAJE SIO GOLI!?
Refa foul alikua akienda kutizama video zake mbona goli hakuenda tizama aamue!?
Uduguu ila leo nitalala nimechoka 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wee lala, leo ni full mauza uza.Sielewi ujue na mvua nayo imekazana[emoji2]