Kweli kabisa Mkuu. Kuna kipindi Timu ya Wananchi ilipitia magumu sana.Cc.
Mheshimiwa sana Anthon Mavunde
Naukumbuka mchango wako enzi za bakeries
Bila kumsahau papa zahera
Mbona hujatuambia galant hajapoteza mchezo wowote wa ligi ya CAF shirikisho msimu huu nyumbani? π€£π€£π€£π€£Marumo Gallants wapo nyumbani kuwaalika Young Africans katika mchezo wa marudiano ya nusu fainali ya CAF Confederation Cup kwanzia saa 1:00 usiku kwa hapa nyumbani Tanzania.
Mechi ya kwanza iliyopigwa juma moja lililopita Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Hivyo matokeo yoyote ya ushindi kwao, au droo yataivusha Yanga na kuipeleka Yanga katika fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza.
Kila la heri kwa Yanga, Taifa zima tupo nyuma yenuπΉπΏπΉπΏπΉπΏπΉπΏ
Amin aminEeh Mwenyezi Mungu ijaalie Young Africans SC iweze kupata ushindi siku hii ya leo nyoyo na nafsi zetu viweze kufurahi. Eeh Mungu ibariki Young Africans SC. Ikawe siku njema tupate ushindi inshallah. π π
Heshimu bia itakuangusha ulambe mchanga!Tukipata goli moja tu naanza kula bia kwa fujo
Ntakucheck baada ya mechi nikupe pole π€£πΈπΈEenhee! Wanasemaga usiku wa deni haukawii kukucha na kwetu sisi Timu ya Wananchi ndo tulikuwa tunataka ifike tupate kumalizana na hizi dakika 90 zilizosalia.
Kila la kheri Timu ya Wananchi katika kuweka historia ingine.
#DaimaMbeleNyumaMwiko.
Muda bado
Mtarudi mkiimba π€πΌπΉ amerudi analia eeehx2
Mtu mwenye akili timamu hawezi komalia vitu vya kipuuzi kama hivyoBasi toeni mwiko.
Nyie mlirudi mna hali gani?Mtarudi mkiimba [emoji441][emoji443][emoji446] amerudi analia eeehx2
......huruma anatia huruma[emoji450]πͺ[emoji447][emoji448][emoji449]πͺπͺ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]