Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Kweli kabisa Mkuu. Kuna kipindi Timu ya Wananchi ilipitia magumu sana.Cc.
Mheshimiwa sana Anthon Mavunde
Naukumbuka mchango wako enzi za bakeries
Bila kumsahau papa zahera
Wacha tuenjoy sasa ni wakati wetu.