Hiyo 1B bora wangempa refaNaona wamewekewa 1B wakishinda.
Kila la heri chama langu wananchi hakuna kufa kiume daima mbele nyuma mwiko.
πππππππππππππππππ
Achana na HISTORIA tunazungumzia hii ya leoNyie mlirudi mna hali gani?
ππ»ππ»ππ»ππ»Hiyo 1B bora wangempa refa
Uzuri wa dua kama hizi hata hazifikagi mbali eti. π€£Ntakucheck baada ya mechi nikupe pole π€£πΈπΈ
Kwani na nyie si mna dua zenu kama mimi na Marumo tulivyo na dua zetu π πUzuri wa dua kama hizi hata hazifikagi mbali eti. π€£
Sana sana juu ya bati ndo mwisho wake. Teh teh.
Hahahaaa. LolKwani na nyie si mna dua zenu kama mimi na Marumo tulivyo na dua zetu π π
Nami nimesikia hivyoNimesikia kwamba yanga tukiingia fainali mechi ya kwanza tunaanzia ugenini alafu ya pili tunamalizia kwa mkapa
[emoji23][emoji23]Uto kula Chuma iko.!!
3:0 FT
Usitupangie Yanga daima mbele nyuma mwiko wale wa nyuma ni wasengeremaHii ya Nyuma mwiko naonaga sio poa..ingebakia tu daima mbele