FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

Gamondi hatuangalii alifungwa na nani na nani?

Bali alifungwa mechi ngapi?
Muda wote aliokaa yanga alifungwa match 6 tu!

Kwahiyo sisi hatuangalii mechi hizo mbili pekee bali takwimu zake kiujumla zilikuwa nzuri sana.
Yanga nyie ni ndumila kuwili sana . Mbona nyie ndio mlikuwa mnapika majungu kuwa Gamondi hafai aondolewe, na alipoondolewa mkashangilia.

Kwanini wasahaulifu hivyo kama kunguru wa znz
 
kichungaji kipiga punyeto daah noma sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Madhara ya kucheza game nje ya uwanja haya plus sindano sema umeongea kwa uchungu ila week mbili mbele mtarudi kwenye lingi makosa ya kibinadamu yatatokea mtashinda tano then raisi wenu mtaanza kumpa sifa kede kede
 
In Haji's voice.....mnakumbuka aliwahi kuwasema nini kabla hajarukia upande wenu??? πŸ˜‚
 
ETI YANGA KUVANUWE WAIYOOOOO……… πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒdobi dobiii
 
Wam
Yanga nyie ni ndumila kuwili sana . Mbona nyie ndio mlikuwa mnapika majungu kuwa Gamondi hafai aondolewe, na alipoondolewa mkashangilia.

Kwanini wasahaulifu hivyo kama kunguru wa znz
Wamepigwa tulichoka na mbwembwe zao..hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…