FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

Huu uzi umejaa wapiga ramli hatari.
Wapo wanataka Yanga ishinde na wapo wanawaombea mabaya Yanga...

Yanga lolote BAYA LIWAPATE. Mkipuruchuka msitupigie mikele watu tunataka usiku uwe na utulivu.
 


Kibabage ni beki wa kushoto. Amekuwa anafanya makosa mara nyingi sana katika nafasi hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…