Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa pagumu Mzee...refa anapenda kombe libaki homeMakolo msikubali hela mmetoa kwa refa mbona hawapi goli? mwambieni refa arudishe hela au awape penati
Au refa amegoma kupokea bahasha ..Hawa mlandege wanapoteza sana muda, wanakaa sana chinii. Khaaaah
Wabongo wajinga kweli, wew unafanya nn kwenye huu uzi wa futuhi cup sasa?Hivi kuna mtu anaacha kufuatilia afcon anafuatilia hii futuhi cup?
Yaan man city wananiudhiii [emoji24][emoji24]Man City.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yanga walipeleka kikosi CHata Simba hapo Aman Haina akina Kibu, Inonga, Chama, Muzamiru na Tshabalala, lakini imefika hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie ni Watano wamekosekana.Hata Simba hapo Aman Haina akina Kibu, Inonga, Chama, Muzamiru na Tshabalala, lakini imefika hapo
Yaaah ni kweli....hasa mechi za mikoani zitamsumbua sana koloWastani wa SIMBA kutengeneza CHANCES ni mdogo sana..
Kwa mwendo huu , natabiri SIMBA itakuwa na SARE NYINGI ktk NBC LEAGUE...
Unless wabadilike..
Labda CHAMA akirejea kikosini otherwise sioni nani pale akitengeneza nafasi..
Mxxiiiiieeeeew em niache.Au refa amegoma kupokea bahasha ..
uvurugwe vizuri mbuzi weMxxiiiiieeeeew em niache.
nshavurugwa hapa, man city washachomesha.
Hapa hata haielewekii
Medeama ipo nafasi ya ngapi kwenye ranks za CAF?levels zake ni sawa na Utopolo tu,Al Ahly ameshindwa kuifunga Simba kwao, Wydad kachezea 2 bilaImagine hii Simba ndo inakutana na medeana....wazee wa pira speed [emoji23][emoji23]
Makolo wanaweza kimbia mechi
Yanga walipeleka kikosi C
Si mnasemaga mna kikosi kipana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie ni Watano wamekosekana.
Yanga wao wa kikosi cha kwanza walikuwa Watatu tu na bado walicheza mara chache [emoji1787][emoji1787]
Mngepeleka kabisa dada zenu ili mkapata cha kujitetea vzurYanga walipeleka kikosi C
Wee mbwa nn, nitolee ngenga zako hapa.uvurugwe vizuri mbuzi we