Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunauza kinu halafu tunanunua mitwangioTunategemea Saidoo na Onana, HV Sakho na Peter Banda walzidiwa nini
Tushapoa mtani tutafanyaje Sasa [emoji3][emoji3]Ni utani tu nadhani. Kwenye fainali kila timu huandaa jezi maana ye yote anaweza kushinda.
Ila poleni [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2233][emoji2233][emoji2233]
Watu wa scouting Simba ni wakufukuza kabisa,wachezaji wa nje walioletwa mpaka sasa mzuri ni Ngoma na Inonga tu.Tunategemea Saidoo na Onana, HV Sakho na Peter Banda walzidiwa nini
Si heri wamefika fainali,je utopolo tutasemaje?Makolo ni takataka.
Muendelee kuteseka myTushapoa mtani tutafanyaje Sasa [emoji3][emoji3]
😂🤣😁Mmmmh thubutuuuuu.
😂😂😂Maki Alfo leo atahitaji uangalizi wa karibu maana atakuwa kaumia sana 😁😁😁🖐🏃🏿♂️🏃🏿♂️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanalunyasi nyasi zimenyewa ndege leoWanalunyasi vipi tena
Haha ndege akawadonoa kwenye mkia anasaka kupe kanda za ikwetaTangaza kabisa wanayanga wasikanyage hapa maana hii mechi haiwahusu.
Kila la heri mnyama ukatafune ndege wako salama.
Mwasibu hachelewi kukimbia threads zake
Wewe unavyokimbiaga za kwako unajifanya umesahau au?Mwasibu hachelewi kukimbia threads zake
Chief kombe lipo wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi YANGA damu ila simba wakiona kombe lolote hawaliachi nikikumbuka tanga nalia Sana hakika Simba ni timu ya makombe onana anaenda kubeba kombe la pili afu zwazwa na Yao Yao hawana hata kombe la uji Simba mmeshindikana [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Daima mbele nyuma mwiko forever