FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

Mimi YANGA damu ila simba wakiona kombe lolote hawaliachi nikikumbuka tanga nalia Sana hakika Simba ni timu ya makombe onana anaenda kubeba kombe la pili afu zwazwa na Yao Yao hawana hata kombe la uji Simba mmeshindikana 🔥🔥🔥🔥
Daima mbele nyuma mwiko forever
 

Attachments

  • IMG-20240114-WA0003.jpg
    IMG-20240114-WA0003.jpg
    29.8 KB · Views: 1
Onana ni forward au back? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona had yeye anajaribu kutaka kufunga huko mbelee, je ikitokea counter attack? Woiiiiih
Dah! Hadi huruma! Kumbe Onana ni full back asiyetakiwa kufunga!! 😁
 
Back
Top Bottom