mkushi wa kushi
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 657
- 993
Bado hujasema chiefSimba inachezea jina tu ila timu hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasema chiefSimba inachezea jina tu ila timu hakuna
We Ndunduka pamoja na kubebwa kote bado umeshindwa kufunga hata moja?Ppole sana mkuu kwa maumivu uliyopata kwa kubanduliwa vitatu.
Maaaskini Makolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]HT' MFC 0-0 Simba
Hii michuano kwa nilivyoiona ka Yanga angepeleka full squard au angalau wachezaji 8 tu wa kikosi cha kwanza wasingetoa sare yoyote mechi zote.Mpira ni mchezo wa wazi
Hpna yule bdo kbsa hajazoea mazingira kiungo wa boli yule [emoji23][emoji23][emoji23]Yule kiungo msenegal aisee kama hiki ndo kiwango chake tumepigwaa kbsaa
Wacha weeeeeeMashindano ya mwaka huu naona yameharibiwa na marefa katika hatua za mwisho.Timu zimeondoka kwa kuyaponda hayo mashindano ya mapinduzi.
Mlatano kaliwa na mlandege 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tangaza kabisa wanayanga wasikanyage hapa maana hii mechi haiwahusu.
Kila la heri mnyama ukatafune ndege wako salama.
Bado unatualika tuje kujifunza hiyo kasi! 😁Kasi ya Mchezo ni Kubwa...!
Njooni mjifunze Kasi hapa
Wacha wewe! 😁Tunashida.
Game nyepesi sana hii
Mwasibu katika ubora wake! Nadhani hapa ametumia zile takwimu zake za kihasibu! 😁Uto andikeni huyu Mlandege amelala
Mimi YANGA damu ila simba wakiona kombe lolote hawaliachi nikikumbuka tanga nalia Sana hakika Simba ni timu ya makombe onana anaenda kubeba kombe la pili afu zwazwa na Yao Yao hawana hata kombe la uji Simba mmeshindikana 🔥🔥🔥🔥
Daima mbele nyuma mwiko forever
Ndugu mwasibu leo umekubali 😀Simba inachezea jina tu ila timu hakuna
Sema kweli! 😁Hii Simba Imenichosha
Tukupe filimbi uchezeshe!Huyu Refaa nae amezidi, mbna simba anapeta tyuuh,
Ila kwa mlandegee anapuliza kipyenga, mfyuuuuh
Subiri tupate kona dakika za nyongeza! Hilo goli litarudi tu. 🥵Wakuu mbona sielewi?
tumekata moto ama....
Dah! Hadi huruma! Kumbe Onana ni full back asiyetakiwa kufunga!! 😁Onana ni forward au back? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona had yeye anajaribu kutaka kufunga huko mbelee, je ikitokea counter attack? Woiiiiih
Hahahaaa. Swahiba hapa nawaza tu sijui watazivalia wapi? 😅😅View attachment 2871082
Swahiba Shadeeya makolo walipania bonanza nasikia waliandaa mpaka parade na jezi lakini waaapi 😃