Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnashiriki pia kutuhujumu.Kumbe walijiandaaView attachment 2871002
Wale vijana hawana adabu,wametumwa na Yanga watukamie. Wale wakicheza na Ihefu watapigwa hata 7.
Mafi ya kale hayanuki. Halafu kwa IHEFU sisi tulitegemea matokeo ya aidha sare au tushinde. Sasa nyie akili zenu zilitaka mshinde kabisaSema watu wasahaulifu sana, mmesahau ninyi mlivyoandaaga jezi za 50 Matches Unbeaten ila Ihefu wakavuruga kila kitu, leo hii mnacheka hilo
Pole Mtani. Tuhamie AFCON sasa.Wale vijana hawana adabu,wametumwa na Yanga watukamie. Wale wakicheza na Ihefu watapigwa hata 7.
Kocha wa Yanga alipoamua kutokuwa serious na haya mashindano mkamuona mjinga nyie mkawa mnapanga kikosi kazi kwaajili ya kubeba ubingwa wa Mapinduzi. Haya sasa kiko wapi?Ule ni mkakati wakudhoofisha timu.
Simba tungeachana na hii michuano tokea Nusu Fainali
SingidaHivi nasikia Mlandege amecheza fainali kwa mara ya pili mfululizo mechi ya fainali iliyopita ya mwaka jana alicheza na nani?
Nauliza tu jamani. [emoji23][emoji23]
Kabisa 😂Jamaa walijipanga aisee.....!!🤣🤣🤣🤣
Ile ni sajili ya kitapeliWachezaji wa Simba hawachezi kwa kupambana.
Huyo mchezaji mpya ni mvivu sana, anatembea tu uwanjani kuisubiri apewe pasi ili naye apasie.
Nashanga alivyosajiriwa harakaharaka, Bora hata yule Mzimbabwe.
😂😁 Polee kakaMnashiriki pia kutuhujumu.
Kelele bado zipo, ila kwasasa wanapigiana wenyewe kwa wenyeweKelele kwishaaaa
SingidaHivi nasikia Mlandege amecheza fainali kwa mara ya pili mfululizo mechi ya fainali iliyopita ya mwaka jana alicheza na nani?
Nauliza tu jamani. [emoji23][emoji23]
Tushamalizana na refa ....Leo penalty Simba lazima tupate
Simbha guvu moya