FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Tumewakosa

Your browser is not able to display this video.
 
Inaenda dakika ya 20 bila shots kwa namungo! Kwa uchezaji huu kuna aibu kubwa tutapa uarabun, kuja haja ya viongazi kuingilia kati, wachezaji walio off form wasipangwe!
 
Bahati kwa Yanga ni kwamba Namungo wanamipango mizuri ya kuzuia lakini hawana mipango ya kupata goli kwa counter attack

Yanga ni ama washinde kwa mbinde au draw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…