FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Hahaha kocha tumbo linaunguruma haamini anachokiona uwanjani Yanga kufunga zero hawafungi wamefungwa miguu, watu watalamba ndimu na leo
Sudi kabla ya kusinya mkataba alipaswa kumtafuta Gamondi amueleze yaliyomsibu hadi kuondoka.

Sudi kama anafikiria atakuwa mwana mageuzi wa kutengeneza historia mpya basi ajitafakari upya.

Mechi ikiisha Yanga hajashunda atakuta ameletewa mabegi yake hapa hapa Lindi.
 
Atakodishiwa Bajaj sio bodaboda imuwahishe kwao
 
Yanga wanacheza kama bata mwenye mimba anayeharisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…