Wacha ni reply kabisaFT
0-4
Wasulubiweeeeee!
Hadi utopolo mwenzao anawakandaKila la kheri kwa watoto wa Majaliwa.
Yani wasulubiwe hadi waitike abeeee!Miguu juu kichwa chini
au
"mijuu guu kichwa chini"
kama shisha ya K ya Aziza
Hahahahhah. Huu sasa utani wa ngumi. Eti CHA WOTE.Hadi utopolo mwenzao anawakanda
View attachment 3165625
Leo Yanga anashinda mkuuπππ
Alifikiri jina Bongo Daresalam ni sawa na Omar Bongo?Atalijua jiji!Azika "K" leo asichezeshwe bila kuchezewa. Tunamjua huyo asipochezewa hachezei hata akichezeshwa!!
In Manara voice!!
Usitutoe kwenye reli sema bado wanachoma sindano.Watapost tu bado wanavuta shisha
Alifikiri jina Bongo Daresalam ni sawa na Omar Bongo?Atalijua jiji!
Wapigwe tu hao πΈπΈπ°πππππππππ°
π #NBC Premier League
β½οΈ Namungo FC π Young Africans SC
π 30.11.2024
π Majaliwa Stadium, Ruangwa Lindi
π 6:30PM(EAT)
Tukutane hapa kwa Updates...