FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Alifikiri jina Bongo Daresalam ni sawa na Omar Bongo?Atalijua jiji!

Eti ananiuliza ni hamisha mabuti au hamisha mabeki

nikamwambia nitahamisha mabeto na manyundo!!

Dube ni mwimbaji bora wa mziki wa lege. Sio mcheza mpira. Labda mpira uliotumika kwa mobeto na aziza kuwafungia magoli kwenye uwanja wenye maji ya gsm na utamu wa asali ya tabora.
 
Leo yanga atashinda hata vitatu tuwe waungwana wakuu🀣
 
Wapigwe tu hao 🐸🐸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…