ukifuatili uzi wangu tu unagundua kuwa nimeisemea vibaya simba. Eti,mabingwa watetezi wa kombe la mapinduzi,na adui muombee njaa hapo nitakuwa nimehamia SIMBA?Holoholo umeamua kuwa mnyama?
Karibu unyamani huku hakunaga cha kuhonga kina Kayoko
Kama lilivyo jina lakoππInasikitisha sana
HAYA SIMU ZIITE WALIONUNA MOYO UPATE MOTO WAWATAFUTE WENYEWE NA WAFANYE VILE WEWE UNATAKA CHEMSHA MAJI YACHEMKEE CHUKUA KARATASI ANDIKA JINA LA MTU UNAETAKA AKUTAFUTE MARA SABA KWENYE KARATASI, LIWEKE NDANI YA HIYO SUFURIA WEKA SUKARI VIJIKO VITATU KULETA RADHA YA UPENDO WEKA MDALASINI KUMVUTA MOYO KOROGA NA KIJIKO HUKU UNATAJA JINA LAKE MARASABA, IPUA HAYO MAJI KAOGEE ATAKUTAFUTAA MWENYEWE KAMA JINA LAKE LINAVYOCHEMKA
NA MOYO WAKE UNAPATA MOTO JUU YAKOO ATAPIGAA TUU NA
OUT ATAKUTOA TU
FANYA HIVYO SIKU TATU MFULULIZO
ANGALIZO MFANYIE MTU UNAEMPENDA NA ANA HERA AKUTAFUTEE, KAMA UMPENDI NA HANA HERA BORA UCHEMSHE HAYO MAJI UMVIZIE ANAPITA UMWAGIE TAKONI TAKOO LIUMUKEEπππ
By Dr dogoli kinyamkela β οΈππ₯π₯
GSM kama mdhamini hawezi kukubali hilo litokee kabisa ndio maana amewaahidi milioni 50 iwapo wataifunga SimbaLeo nataka kushuhudia kwa macho yangu maigizo ya Bongo muvi. Yaani Mgunda huyu huyu kocha wetu wa akiba, akubali timu yetu kufungwa! Hata sare tu haipo kwenye mechi ya leo.
Kwa wale wazee wa kubet, hakika leo ni siku yenu ya kuvuna hela. Mpe Simba mazima hata milioni 2. Na hutojutia.
Acha kujiliza we ANDAZI. Hapa ulikuwa unamaanisha nini?πSio ututatatibu.
Acha kujiliza we ANDAZI. Hapa ulikuwa unamaanisha nini?π