FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Ngoja niwaite hawa wachambuzi. Teh teh

Scars na Greatest Of All Time
Beki wenu kaleta matusi kwenye boli, kalamba umeme milio imekuwa mingi
IMG_5348.jpeg
 
Nn red kadi bado penalty YAAN SEHEMU tff wafanikiwe WAWEKE wahuni marefa mechi ya YANGA na Simba HAPO watajua kitimoto n ghali kuliko nyama zotee
15 mins agoooo mmelewa
 
Shida ya kupewa ahadi alafu uwez hakuna,toka awali wameingia na ugomvi.kocha anashindwa tuliza timu
 
Wakati mwingine unasoma comments mpaka unafikiri kuna machizi wanaadika humu. Refa katukanwa unataka afanye nini kama sio kadi. Mchezaji kashikwa mkono mpaka kaangushwa unataka refa afanyaje. Ficheni upuuzi wenu
 
Eti,mabingwa watetezi wa kombe la mapinduzi,na adui muombee njaa hapo nitakuwa nimehamia SIMBA?
Kumbe hii ni mechi ya kombe la Mapinduzi...

Hayo ndio madhara ya kunywa supu ya vibudu bwashee, tulia sasa unyamani huku ni biriani tu 😂
 
30 MNS ago niliona huyu Refa ana penalty kwenye mbupuuu
 

Attachments

  • Screenshot_20250219-193310.jpg
    Screenshot_20250219-193310.jpg
    231.3 KB · Views: 1
Pata Pata Pata Utajiri


Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂


Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"


Mtaa wa "imsi=640021177148086&uid=2dc0f0cd0dcd98ea00ea2efe528ad43d&t=2&tl=ki2ni" unakutangazia


Fully varnished and finished Apartment kwa TSH 30,000 kwa mwezi
 
Ukitaka kuangalia hizimechi utakosa nguvu za kiume muwe makini
 
Back
Top Bottom