Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyieeee!!
NiniOooh! Siku ingine niite na mie nikusaidie tupalizi wote.
Japo nasikia mmedraw kiume eti. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kocha unaandika magarasa ya kuacha? TFF waongeze wageni wa kusajili hata 20. Tunataka burudani
Mwaka mtamu huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe huwezi hizi kazi za kiume. Eeeh draw ya kiume hatukubali kufungwaOooh! Siku ingine niite na mie nikusaidie tupalizi wote.
Japo nasikia mmedraw kiume eti. 🤣🤣🤣
😳😳😳😳😳Kwa niaba ya mashabiki kindaki ndaki wa simba, kama kuna kosa phiri kafanya kwa kocha amsamehe.
Kabisa yaani. Nakazia Mkuu. 🤣Ni kweli hawa simba na hiyo kiume yao watafika mbali😂
Inamana hujasikia jirani? 🤣🤣Nini
Tukimtoa gadiel nani atabeba hirizi za timuWachezaji wa kufukuza Simba ni Gadiel Michael, Onyango, Kennedy. Sakho na Banda wapewe masharti maalum ya kuacha utoto
Sana yaani. 🤣🤣Mwaka mtamu huu🤣🤣
Wewe huwezi hizi kazi za kiume. Eeeh draw ya kiume hatukubali kufungwa
Kufeni kiume mkuu.Yap.. bora Simba imekufa kiume mwaka huu, aibu ilikuwa Uto iliyokufa kike kwenye Ligi ya Mabingwa November mwaka jana
Ninywe maji usiku utaniamsha kukojoa?.Tuliaa..
Kunywa maji lala
Pole sana mtaniNinywe maji usiku utaniamsha kukojoa?.