We Makolo tulieni tuwakuneMarefa wote wa NBC si wana utopolo
Nimejaribu kusoma mara mbili mbili sina nilichoelewa..Wanachangamshaje? Unadhani ni kama wa nyie utopolo mnavyojazana kwenye thread ya Simba inapocheza na kazi yenu ni kuitoa makosa kibao huku mkijifanya ni mashabiki wa Simba. Tumesha wajueni.
Nilikupelekea Moto mpaka ukaenda kusema 'mama huyu chokozi'Asiponiambia Mimi ndio nimuache? Si unakumbuka nilikutia adabu sasa una nidhamu?
Sasa leo zamu yake, JF siyo Kijiwe cha wavuta bangi.
GooooaaaaaaalWaangalie kwenye machine Kama ni goli au sio😶
GooooaaaaaaalNini tena,,
MAKOLO wamekimbia uzi 🤣Nini tena,,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utopolo mnawashwa
Duh yatafika matano Sasa😐Gooooaaaaaaal