FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

Kuwa Bingwa sio kigezo cha kujiona mkubwa.

Hata Zalan mliowafunga 6 nao walikuwa mabingwa kule kwao na msimu uliofuata waliitwa mabingwa watetezi.

Zalan na Namungo utawatofautishaje?

Sasa hiyo hesabu ipeleke kwa KMC na Yanga you'll get the same damn results
Yanga ni Bingwa Mtetezi au sio Bingwa Mtetezi? Acha kurukaruka Kombe la Msimu uliopita alichukua nani na analo nani hadi leo?
 
Mabingwa watetezi Yanga SC wanaanza mbio za kulitetea taji la NBC kwa kumenyana na KMC.

Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 katika Dimba la Azam Complex

Katika mechi 10 walizokutana kwenye ligi kuu tangu wapande daraja msimu wa 2018/19, KMC wameshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga, huku sare zikiwa ni mbili tu….!!!

View attachment 2726406
Je, leo itakuwaje?

Kikosi kinachoanza leo dhidi ya KMC FC ni hiki hapa
View attachment 2726413

Karibuni wadau kwa update za mechi hii ili tuliombali na TV tujue kinachoendelea
Huyu kocha ndiyo kusema hamkubali Konkoni, au!! Kila mechi anaanzia benchi!!

All in all, nawatakia wananchi ushindi.
 
Kuwa Bingwa sio kigezo cha kujiona mkubwa.

Hata Zalan mliowafunga 6 nao walikuwa mabingwa kule kwao na msimu uliofuata waliitwa mabingwa watetezi.

Zalan na Namungo utawatofautishaje?

Sasa hiyo hesabu ipeleke kwa KMC na Yanga you'll get the same damn results
Nyumbu katika ubora wako
 
Mpira umeanza huku timu zote zikionesha Morale ya kuhitaji sana matokeo ya sare
 
Pass 23 zinapigwa karibia na box la Kmc wachezaji wa Kmc wanaotafuta mpira Kwa tochi hapa alaaaaahaa goooo dah anakosa pale... Ebwana eee Yanga Tamu [emoji2957]
 
Kmc wanaanza kubutua huku Yanga wakipiga pasi Safi kama Xavi [emoji1787] ni ta tah tab
 
Gooola Musonda anakosa pale dah...
Hii Yanga ni zaidi ya Man city [emoji16]
 
Azizi Ki anapiga shuti kipa anafanya save
 
Back
Top Bottom