Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaangalia marudio ya Club Africain nini?
Job kafunga ndio kwani akifunga Job si ndio kafunga Aziz Ki maana yake Yanga imeshinda 🤫We unaangalia marudio ya Club Africain nini?
Goli limefungwa na Dickson Job tena kulikuwa na offside
Hta hivo ilikua offside tumpongeze Tu kipa Leo atalala na viatuHuyu mnayemuita Kiipome amekosaje pale?
D JobMnatuchanganya
Kwa hiyo ni Aziz key au d.job aliyefunga hilo gol???
Mbona nimelichambua Hilo Goli angalia post hapo juuMnatuchanganya
Kwa hiyo ni Aziz key au d.job aliyefunga hilo gol???
JobMnatuchanganya
Kwa hiyo ni Aziz key au d.job aliyefunga hilo gol???
Muuza Viat kafunga Dickson JobIlipigwa Kona Aziz Ki akawachambua kama karanga akapiga V pass mabeki watano wakashindwa kugusa mpira ukatua miguuni Kwa big brain defender Dickson Job akaachia shuti kama kombora kidogo lichane nyavu aisee...
Yanga wakacheze EPL [emoji1787][emoji91][emoji91]
Huku hawapo kina Marumo na washuka daraja wenzake
Ahsante nimeonaMbona nimelichambua Hilo Goli angalia post hapo juu
Nafurahinsana kuskia hbtr hzo niko kwa safari nafatilia Uzi vzr sna yanga daimaIlipigwa Kona Aziz Ki akawachambua kama karanga akapiga V pass mabeki watano wakashindwa kugusa mpira ukatua miguuni Kwa big brain defender Dickson Job akaachia shuti kama kombora kidogo lichane nyavu aisee...
Yanga wakacheze EPL [emoji1787][emoji91][emoji91]
Uchawi upoAzizi Ki naye pale amekosaje??