kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Tepsie Evance anatesa Watu hapa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Aziz Kindamba anang’aa akicheza dhidi ya timu ndogo?Scars Umeanza nongwa zako mapema sana.
Ila uwepo wako, akija na Greatest Of All Time Kalpana OKW BOBAN SUNZU utasaidia kauzi ketu kafikie angalau comments 700, mkiondoka tutaishia comments 112 tu. Nawajua Yanga vizuri sana
Hiyo nayo n hoja ya msingi kama ni hivo INA maana tulisajili Garasa?Huyu anheendelea tu kutokea pembeni. Na siyo kuchezeshwa katikati.
Binafsi bado sijaridhika kuona mchezaji aliyesajiliwa kama mbadala wa Mayele, akisugua benchi! Halafu timu inaendelea kuchezesha wachezaji ambao hapo mwanzo walikuwa ni chaguo la pili kwa Mayele.
Yanga kapigwa ngumi
Mwenyewe nimeshangaa lakini TFF lazima wamalambe faini wakeshe barMudathiri amepigwa ngumi palee
Imekuwaje Refa hajatoa maamuzi juu ya tukio hilo?
dahMwenyewe nimeshangaa lakini TFF lazima wamalambe faini wakeshe bar
Dakika 2' za nyongezaLolote baya kwa Uto. Bado Kuna muda wa kutosha.
Nimeipenda rotation ya kikosi anayoifanya kocha.Mabingwa watetezi Yanga SC wanaanza mbio za kulitetea taji la NBC kwa kumenyana na KMC.
Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 katika Dimba la Azam Complex
Katika mechi 10 walizokutana kwenye ligi kuu tangu wapande daraja msimu wa 2018/19, KMC wameshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga, huku sare zikiwa ni mbili tu….!!!
View attachment 2726406
Je, leo itakuwaje?
Kikosi kinachoanza leo dhidi ya KMC FC ni hiki hapa
View attachment 2726413
Karibuni wadau kwa update za mechi hii ili tuliombali na TV tujue kinachoendelea
Duu mlikua na mechi leo??Scars Umeanza nongwa zako mapema sana.
Ila uwepo wako, akija na Greatest Of All Time Kalpana OKW BOBAN SUNZU utasaidia kauzi ketu kafikie angalau comments 700, mkiondoka tutaishia comments 112 tu. Nawajua Yanga vizuri sana
Naitakia drooScars Umeanza nongwa zako mapema sana.
Ila uwepo wako, akija na Greatest Of All Time Kalpana OKW BOBAN SUNZU utasaidia kauzi ketu kafikie angalau comments 700, mkiondoka tutaishia comments 112 tu. Nawajua Yanga vizuri sana