FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

Huyu anheendelea tu kutokea pembeni. Na siyo kuchezeshwa katikati.

Binafsi bado sijaridhika kuona mchezaji aliyesajiliwa kama mbadala wa Mayele, akisugua benchi! Halafu timu inaendelea kuchezesha wachezaji ambao hapo mwanzo walikuwa ni chaguo la pili kwa Mayele.
Hiyo nayo n hoja ya msingi kama ni hivo INA maana tulisajili Garasa?
 
Kuna mchezaji wa KMC anachonga cross nzuri sana sema wakumalizia ndio hayupo
 
Mabingwa watetezi Yanga SC wanaanza mbio za kulitetea taji la NBC kwa kumenyana na KMC.

Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 katika Dimba la Azam Complex

Katika mechi 10 walizokutana kwenye ligi kuu tangu wapande daraja msimu wa 2018/19, KMC wameshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga, huku sare zikiwa ni mbili tu….!!!

View attachment 2726406
Je, leo itakuwaje?

Kikosi kinachoanza leo dhidi ya KMC FC ni hiki hapa
View attachment 2726413

Karibuni wadau kwa update za mechi hii ili tuliombali na TV tujue kinachoendelea
Nimeipenda rotation ya kikosi anayoifanya kocha.

Kwa style hii wachezaji wote waliosajiliwa watapata nafasi ya kucheza msimu huu.
 
Back
Top Bottom