FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

FT: NBC Premier League: Yanga SC 5-0 KMC FC | Azam Complex Stadium | 23/08/2023

Kama Hafidh Konkoni ataendea kusugua benchi, basi nitaamini Yanga imekosa mbadala wa Fiston Kalala Mayele.

Maana Kennedy Musonda na mwenzake Clement Mzize walikuwepo msimu uliopita. Na mara zote walikuwa ni chaguo namba 2 na 3 baada ya mshambuliaji namba 1 (Mayele).

Na katika hili, basi nitaamini labda huyu Konkoni alikuwa siyo chaguo la kocha Gamondi. Maeneo mengine yote, hakuna tatizo lolote lile. Shughuli ipo kwenye mshambuliaji mwenye kiwango kama cha Mayele/au hata kiwango cha kumzidi kabisa huyo Mayele.
 
Mnaoangalia mpira yule mwarabu wa mombasa wa kmc anacheza?
 
Haturuhusiwi kutoa maoni kwani...?
Mbona watoto wa kiume wengi mna behave kama mshavuliwa ubingwa. Hivo visirani waachie watoto wa kike wanaovuja kila mwezi, wewe wa kiume kabisa alafu unaleta attitudes za kike, utavuliwa ubingwa, shauri yako.
Umeulizwa swali fupi tu! Badala ya kujibu ndiyo au hapana! Wewe umeamua kuimba taarab kama Isha Mashauzi
 
Kipindi cha pili kinaanza Kwa kasi Sana Yanga wanaendelea kupiga pass nyingi Sana za uhakika kama arsenal ya Wenger.... Kmc wanaendelea kupata mateso makali hapa
 
Back
Top Bottom