Yanga ni Bingwa Mtetezi au sio Bingwa Mtetezi? Acha kurukaruka Kombe la Msimu uliopita alichukua nani na analo nani hadi leo?Kuwa Bingwa sio kigezo cha kujiona mkubwa.
Hata Zalan mliowafunga 6 nao walikuwa mabingwa kule kwao na msimu uliofuata waliitwa mabingwa watetezi.
Zalan na Namungo utawatofautishaje?
Sasa hiyo hesabu ipeleke kwa KMC na Yanga you'll get the same damn results
Yanga ni Bingwa mteleziYanga ni Bingwa Mtetezi au sio Bingwa Mtetezi? Acha kurukaruka Kombe la Msimu uliopita alichukua nani na analo nani hadi leo?
Huyu kocha ndiyo kusema hamkubali Konkoni, au!! Kila mechi anaanzia benchi!!Mabingwa watetezi Yanga SC wanaanza mbio za kulitetea taji la NBC kwa kumenyana na KMC.
Mechi hii itapigwa kuanzia saa 1:00 katika Dimba la Azam Complex
Katika mechi 10 walizokutana kwenye ligi kuu tangu wapande daraja msimu wa 2018/19, KMC wameshinda mara moja pekee dhidi ya Yanga, huku sare zikiwa ni mbili tu….!!!
View attachment 2726406
Je, leo itakuwaje?
Kikosi kinachoanza leo dhidi ya KMC FC ni hiki hapa
View attachment 2726413
Karibuni wadau kwa update za mechi hii ili tuliombali na TV tujue kinachoendelea
Nyumbu katika ubora wakoKuwa Bingwa sio kigezo cha kujiona mkubwa.
Hata Zalan mliowafunga 6 nao walikuwa mabingwa kule kwao na msimu uliofuata waliitwa mabingwa watetezi.
Zalan na Namungo utawatofautishaje?
Sasa hiyo hesabu ipeleke kwa KMC na Yanga you'll get the same damn results
Sema Bingwa Mtetezi sio MteleziYanga ni Bingwa mtelezi
SijakoseaSema Bingwa Mtetezi sio Mtelezi
Butua butua